UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI YA TAIFA YA TAKWI MKOANI DODOMA UNAENDELEA.

 Menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ikikagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya ofisi hiyo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya  ujenzi wa jengo hilo iliyofanyika hivi karibuni  mkoani Dodoma. Ujezi wa jengo hilo unatarajia kumalizika mwanzoni mwa mwaka 2018.


 Menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ikikagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya ofisi hiyo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya  ujenzi wa jengo hilo iliyofanyika hivi karibuni  mkoani Dodoma. Ujezi wa jengo hilo unatarajia kumalizika mwanzoni mwa mwaka 2018. 


 Taswira ya ujenzi wa  jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mkoani Dodoma. Ujezi wa jengo hilo unatarajia kumalizika mwanzoni mwa mwaka 2018.


Taswira ya ujenzi wa  jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)  mkoani Dodoma. Ujezi wa jengo hilo unatarajia kumalizika mwanzoni mwa mwaka 2018.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA NBS).

Comments

Popular posts from this blog

SERIKALI YAREJESHA KAMBI TANO ZA JKT ZILIZOKUWA ZIMESITISHA MAFUNZO YA JESHI.

BELENG’ANYI, MBUNIFU MWENYE MALENGO YA KUTENGENEZA MGODI WA KUFUA UMEME.