KIPINDI CHA PRAISE TEAM KILIVYOFANA KATIKA IBADA YA MCC JUMAPILI YA 7/4/2017.


Waimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania waliokuwa wakiongoza katika Kipindi cha Praise Team, katika kituo cha Ibaada cha Mliman City Worship Centre (MCC), jana jijini Dar es Salaam.
Waumini waliohudhuria ibada ya jumapili katika Ukumbi wa Sinema wa Mlimani City wakiendelea kuabudu katika kipindi cha kusifu jana jijini Dar es Salaam.
Waumini wakiendelea kusifu katika kipindi cha  cha Praise Team kilichokuwa kikiongozwa na waimbaji wa injili nane kutoka Dar es Salaam na  nje ya Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

SERIKALI YAREJESHA KAMBI TANO ZA JKT ZILIZOKUWA ZIMESITISHA MAFUNZO YA JESHI.

BELENG’ANYI, MBUNIFU MWENYE MALENGO YA KUTENGENEZA MGODI WA KUFUA UMEME.