KADA WA CCM. MAGESA ATOA 500,000 KUKIPIGA JEKI KIKUNDI CHA SANAA CHA HISIA TEMEKE





  •   Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MNEC wa Wilaya ya Temeke, Phares Magesa akizungumza na wananchi walio jitokeza wakati alipokuwa akifunga tamasha la Uelimishaji wa kupinga unyanyasaji  kwa mwanamke  katika viwanja vya Puma  kata ya Sandali. Dar es Salaam jana. 
      Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MNEC wa Wilaya ya Temeke, Phares Magesa akisalimiana na Afisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Engerasia Lyimo (kilia) wakati alipowasili katika viwanja vya Puma kata ya Sandali Dar es Salaam jana.

      Sajini wa Polisi, Mrisho Athumani (wa tatu kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MNEC wa Wilaya ya Temeke, Phares Magesa (kushoto) wakati alipo alipokuwa akiwasili katika viwanja vya Puma kata ya Sandali Dar es Salaam jana. kuanzia kulia ni Afisa Maendeleo ya Jamii, Kata ya Sandali Wilaya ya Temeke, Anuciatha Kayombo, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Zuberi Kabumaye na kushoto ni Mkurugenzi wa Hisia Threatr, Hamis Kussa
     Wasanii wa kikundi cha Hisia Threater Group wakitumbuiza wakati wa kufunga tamasha la Uelimishaji wa kupinga unyanyasaji  kwa mwanamke  katika viwanja vya Puma  kata ya Sandali. Dar es Salaam juzi
     Koplo wa Bendi ya Polisi Kilwa Roard, Aleni Michael (kushoto) akitumbuiza katika  tamasha la Uelimishaji wa kupinga unyanyasaji  kwa mwanamke  katika viwanja vya Puma  kata ya Sandali. Dar es Salaam jana
     Msanii wa kikundi cha Hisia, Masta Shivo , Shangar Omary akitowa burudani ya Sarakasi wakati wa tamasha la Uelimishaji wa kupinga unyanyasaji  kwa mwanamke  katika viwanja vya Puma  kata ya Sandali. Dar es Salaam jana

     Katibu wa Kikundi cha Hisia Amina Abdallah (kushoto) akimsakili mama ambaye hakupenda jina lake kutaja wakati wa tamasha la Uelimishaji wa kupinga unyanyasaji  kwa mwanamke  katika viwanja vya Puma  kata ya Sandali. Dar es Salaam jana
     Afisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Engerasia Lyimo alipokuwa akitambulisha wageni wa meza kuu
     Afisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Engerasia Lyimo alipokuwa akizungumza jambo  wakati wa 
    wa tamasha la Uelimishaji wa kupinga unyanyasaji  kwa mwanamke  katika viwanja vya Puma  kata ya Sandali. Dar es Salaam jana
      Afisa Maendeleo ya Jamii, Kata ya Sandali Wilaya ya Temeke, Anuciatha Kayombo akipungia mkono wananchi baada ya kutambulishwa na Afisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Engerasia Lyimo-wakati wa tamasha la Uelimishaji wa kupinga unyanyasaji  kwa mwanamke  katika viwanja vya Puma  kata ya Sandali. Dar es Salaam jana
     Wananchi wakipitia vipeperushi wakati wa tamasha hilo
     Wasanii wakikundi cha Hisia wakitowa igizo mbele ya mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MNEC wa Wilaya ya Temeke, Phares Magesa


    Afisa Maendeleo ya Jamii, Kata ya Sandali Wilaya ya Temeke, Anuciatha Kayombo akizungumza jambo



     Mgeni rasmi akijisajili katika kitabu cha kupinga ukatili kwa wanawake, kulia ni Katibu wa Kikundi cha Hisia Amina Abdallah

  • (PICHA ZOTE NA MAISHA NI HABARI BLOG.)


Comments

Popular posts from this blog

SERIKALI YAREJESHA KAMBI TANO ZA JKT ZILIZOKUWA ZIMESITISHA MAFUNZO YA JESHI.

BELENG’ANYI, MBUNIFU MWENYE MALENGO YA KUTENGENEZA MGODI WA KUFUA UMEME.