DIWANI URIO, KUZINDUA KAMPENI YA WEZESHA MAMA NA MTOTO MPYA WA KUNDUCHI.

Ungana na Diwani Kata ya Kunduchi  Michael Urio, katika Kampeni ya Wezesha Mama na Mtoto Mpya wa Kunduchi, yenye lengo la kuwezesha ujenzi wa wodi ya akina mama pamoja na chumba cha upasuaji katika Zahanati za Mtongani na Ununio ndani ya Kata ya Kunduchi.


Uzinduzi wa Kampeni hii utahusisha ufanyaji wa usafi katika Zahanati ya Mtongani siku ya Jumamosi tarehe 3/6/2017.  
    
Karibuni Wote.

Matukio mbalimbali ya Kampeni hii yatatolewa na MAISHA NI HABARI BLOG, siku ya jumamosi.

Comments

Popular posts from this blog

SERIKALI YAREJESHA KAMBI TANO ZA JKT ZILIZOKUWA ZIMESITISHA MAFUNZO YA JESHI.

BELENG’ANYI, MBUNIFU MWENYE MALENGO YA KUTENGENEZA MGODI WA KUFUA UMEME.