MATUKIO YA IBAADA YA LEO, KATIKA KITUO CHA IBAADA CHA MLIMANI WORSHIP CENTRE (MCC).


 ASKOFU  Mkuu wa Dayosisi Kuu ya Dar es Salaam na Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania (KMUT), Emmaus Mwamakula,akimusimika Shemasi Mlei Neema Mwaipopo  aliyepiga magoti katika kituo cha  Ibada cha Mliman City Worship Centre (MCC), leo.

 Picha ya pamoja baada ya kusimikwa kwa Mlei Neema, wa pili kutoka kushoto.

 Askofu Mwamakula akimtambulisha Mwinjilisti Martini Kajituel  akiwa na mke wake leo, walioshiriki ibaada ya leo  katika kituo cha MCC.

Askofu Mwamakula akiwa amepiga magoti kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  watoto waliofika kuabudu leo kwenye kituo cha ibaada cha MCC.

 Mwinjilisti Martini Kajituel akitoa mahubili leo katika kituo cha ibaada  cha MCC,  na somo la leo limetoka katika kitabu cha Luka 8: 43-48.



 Waumini wakiendelea kusifu katika kipindi cha Sifa  leo, katika kituo cha ibaada cha MCC.


 Waumini wakiendelea kusifu na kuabudu katika kipindi cha sifa leo.

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Nchini, Silvanus Mumba akiongoza kipindi cha sifa leo katika kituo cha Ibaada cha  MCC.

 Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Nchini ,  Kissa Mwampulule akiongoza kipindi cha sifa leo.

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Nchini, Herieth Ungele akiwa na mtoto wake Jennipher Allan wakiongoza kipindi cha sifa leo katika kituo cha ibaada cha  MCC.

    (PICHA ZOTE NA MAISHA NI HABARI BLOG).

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

SERIKALI YAREJESHA KAMBI TANO ZA JKT ZILIZOKUWA ZIMESITISHA MAFUNZO YA JESHI.

BELENG’ANYI, MBUNIFU MWENYE MALENGO YA KUTENGENEZA MGODI WA KUFUA UMEME.