POKEA MAOMBEZI YA UPONYAJI NA KUFUNGULIWA KATIKA KITUO CHA IBADA CHA MLIMANI CITY.

MKUU wa Kanisa la Morovian la Uamsho Tanzania  (KMUT), Mhashamu Askofu Emmaus Mwamakula anawakaribisha wote katika ibada za sifa na maombezi ya uponyaji na kufunguliwa .

Aidha ibada ya maombezi hayo hufanyika kila siku ya jumapili katika vituo vya Mlimani City Worship Centre (MCC) katika ukumbi wa sinema uliopo ndani ya jingo la Mlimani City.

Pia maombezi hayo hufanyika katika Kanisa la Morovian la Usharika wa Golan eneo la Kimara Suka na Kanisa la Morovian la  Uamsho Tanzania  Ushirika wa Mbweni eneo la Boko Magengeni.

Ibada ni saa 8:00 hadi 11:00 asubuhi kwa mawasiliano zaidi piga simu 0767086884.

Matukio ya ibada ya jumapili  kituo cha MCC,  hutolewa katika 
(MAISHA NI HABARI BLOG).



Comments

Popular posts from this blog

SERIKALI YAREJESHA KAMBI TANO ZA JKT ZILIZOKUWA ZIMESITISHA MAFUNZO YA JESHI.

BELENG’ANYI, MBUNIFU MWENYE MALENGO YA KUTENGENEZA MGODI WA KUFUA UMEME.